Saturday, August 31, 2013

The reporter asked Robert Mugabe the question after he won the election

Reporter: Mr. President  don't you think 89 years old would have been a great time to rest and retire?

Mugabe: Have you ever asked Queen Elizabeth this question or is it just for  african leader.

Reporter: O.k, thanks.


Waendesha piki piki maarufu kama boda boda wachapwa viboko

Waendesha pikipiki kwa jina maarufu la boda boda wamemuomba waziri wa mambo ya ndani ya nchi Dr. Emmanuel Nchimbi kusikiliza kilio chao kutokana na baadhi wa askari wa usalama barabari kuwachapa viboko wanapokamatwa kwa makosa mbali mbali.

wengine walifika mbali zaidi na kudiriki kusema ni bora warudi kwenye uhalifu kuliko kuendelea na kazi hii.Pamoja na kuchapwa viboko lakini pia wamekuwa wakiombwa rushwa.


Gold miners in South Africa call a strike to start on Tuesday over their wage demands.


Former South African President Nelson Mandela is still in hospital.  May he gets well soon.


US Supreme court justice Ruth Bader Ginsburg is going to become the first judge on the country's highest court to perform a same sex marriage of Michael Kaiser 59- President of the Kennedy Centre performing art space and Economist John Roberts 32. Mr. Kaiser is a personal friend of hers.


Hatimaye bondia Mmarekani Phil Williams atwangwa na bondia Francis Cheka,


President Barack Obama says the US should take military action against Syria and he will seek congressional authorisation for strikes.


President Barack Obama says the US should take military action against Syria and he will seek congressional authorisation for strikes.



Russian President Putin has urged the U.S. government to show evidence that Syria used toxic chemicals.


Mount Kilimanjaro is the highest mountain in Africa (5,895 m - 19,341 feet).  Mt. Kilimanjaro is the true wonders of nature of Africa. every year approximately 15,000 people attempt to reach the summit but only 40 percent do so.




Thursday, August 29, 2013

Majambazi wakiwa na sare za polisi wamevamia benki yaHabib African iliyoko kariakoo jijini   Dar es Salaam na kupora mamilioni ya fedha.

Askofu mkuu wa EAGT Moses Kulola afariki dunia




Mhubiri mashuhuri wa kanisa la EAGT afariki dunia leo tarehe 29.08.2013