Reporter: Mr. President don't you think 89 years old would have been a great time to rest and retire?
Mugabe: Have you ever asked Queen Elizabeth this question or is it just for african leader.
Reporter: O.k, thanks.
Saturday, August 31, 2013
Waendesha piki piki maarufu kama boda boda wachapwa viboko
Waendesha pikipiki kwa jina maarufu la boda boda wamemuomba waziri wa mambo ya ndani ya nchi Dr. Emmanuel Nchimbi kusikiliza kilio chao kutokana na baadhi wa askari wa usalama barabari kuwachapa viboko wanapokamatwa kwa makosa mbali mbali.
wengine walifika mbali zaidi na kudiriki kusema ni bora warudi kwenye uhalifu kuliko kuendelea na kazi hii.Pamoja na kuchapwa viboko lakini pia wamekuwa wakiombwa rushwa.
wengine walifika mbali zaidi na kudiriki kusema ni bora warudi kwenye uhalifu kuliko kuendelea na kazi hii.Pamoja na kuchapwa viboko lakini pia wamekuwa wakiombwa rushwa.
Thursday, August 29, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)