Msanii wa sanaa za vichekesho 'King Majuto' ambaye jina lake halisi ni Amri Athumani ametangaza nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Tanga mjini kwa chama cha Mapinduzi ifikapo 2015 Mwenyezi Mungu akimpa uhai.
King Majuto mwenye umri zaidi ya miaka 60 ametangaza nia yake hiyo alipohojiwa na Clouds FM katika kipindi cha amplifier siku ya Jumatatu kinachorushwa hewani kila siku za Jumatatu na Ijumaa kuanzia saa 1 jioni hadi saa 3 za usiku.
No comments:
Post a Comment